Christmas Service 2024 in Tukuyu
Askofu Kenan Pnaja na Mchungaji Lusekelo Swebe (Tukuyu) wakati wa ibada ya Krismasi Waabudu wa ibada ya Krismasi Askofu Kenan Salim Panja, Askofu wa Jimbo la Kusini Rungwe, Kanisa la Moravian
Askofu Kenan Pnaja na Mchungaji Lusekelo Swebe (Tukuyu) wakati wa ibada ya Krismasi Waabudu wa ibada ya Krismasi Askofu Kenan Salim Panja, Askofu wa Jimbo la Kusini Rungwe, Kanisa la Moravian
This year was another great confirmation in Tukuyu. Her you see some pictures.
Ibada za ufufuko katika Tukuyu
Wageni kutoka ushirika wa ndugu Mwanza wanatembelea shule ya wanafunzi wenye ulemavu Katumba katika ushirika wa Tukuyu
Sherehe ya kipa imara, 18/1172023. Zaidi ya 50 wakipa imara walihudhuria
Mchungaji wa Tukuyu Lusekeolo Swebe wakati wa ibada.
Ziara ya wageni 8 kutoka Tukuyu katika Ulm, 25 /9 -11/10/ 2022
Buildings of Nyumba mpya ya Shule ya Jumapili na ya shule ya watoto wadogo:
Ziara yetu wakati wa mkutano wa siku mbali mbali wa wanawake 200, wachungaji na wanawake wajitoleao katika kanisa la mkoa. Wanawake wengi wanapanga mazao yao ili kuyauza.
Mahali pa kupika katika nyumba ya kupika. Maendeleo ndiyo vizuri. Wakati wa chakula pamoja na waschiriki wa ushirika. Chakula kilikuwa kupikwa na wajumbe wa Akina Mama katika nyumba ya kupika. Watoto wa Sandi wanatuimbia na kutuchezea dansi. Kwaia mbili za ushirika, Kwaia ya Shadai na kwaia ya St. Stephano...