Letter from 1.12.2020

Jamaniii, poleni sana kwa hali ya hewa hiyo. Nadhani itakuwa beridi sana sasa.  Sisi huku tupo salama na hali ya hewa ni nzuri sana: asuhuhi mpaka alasiri linawaka jua, baada ya hapo inanyesha mvua kwa saa moja au mawili alafu inakatika. Hata sasa inanyesha huko nje. Mi mea yote ni...

Continue reading