Baada ya ukaribischo wa Askofu tunaona jinsi maparacici ya mashamba ya kanisa yanavyofungwa. Tunaongozwa katika nyumba ya makumbusho na manonyesho katika kituo cha Rungwe. Kule wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam wanajifunza masomo yao ya historia.