

Wanawake wa Akina Mama wanawajitolea yatima kwa njia mbali mbali:
- Kuwagawanya yatima miongoni mwa familia
- kuwanunulia nguo
- kugharamia chakula
- kulipa ada ya shule na kuwapa vifaa kwa shule
Shirika za ushirikiano hapa Ulm zinausaidia mradi huo tangu 2007.
Ziara ya 2015:

Watoto yatima walipopokea zawadi kutoka kwa wageni

Watoto yatima wanatambulishwa mbele ya wageni

Watoto wanashukuru kwa zawadi
